Wednesday, January 7, 2009

Mahakama imuamue Mkapa


Benjamin Mkapa, rais wa zamani wa Tanzania anaendelea kusakamwa na tuhuma lukuki za ufisadi. Tayari baadhi ya watu wakiwamo baadhi ya wanasiasa uchwara wanataka Mkapa aachwe kama alivyo.

Mkapa anatuhumiwa kutumia vibaya madaraka, kujilimbikizia mali na kufanya biashara akiwa Ikulu. Je, ni kweli kuna haja ya kuendelea kuhubiri kwamba Mkapa anatakiwa kuachwa kufanya atakayo?

No comments: