Monday, December 29, 2008


Jana nilikwenda kumjulia hali mshikadau mwenzangu, Pascal Mayala aliyelazwa katika Hospitari ya Apollo Indraprastha, mjini Delih nchini India.

Mayala amelazwa hopitari hapo akipata matibu yaliotokana na ajali ya pikipiki miezi mitatu iliyopita nchini Tanzania ambapo alijeruhiwa vibaya mguu wa kushoto, mkono wa kushoto na bega la kushoto.

No comments: